Wednesday, December 4, 2013

EXTENSSION OF TIME FOR COURSE REGISTRATION!

OUT management would like to inform you that the time for course registration has been extended to 16th December 2013.
All students who have not yet registered their courses are therefore required to accomplish their registration before the 16th since there will be no extenssion any more.
Thanks.

TANZIA

Uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, kituo cha Tanga unasikitika kuwatangazia wanajumuia wote wa OUT kuwa mwanachuo Sarah Ayoub, ambaye alikuwa akisoma kozi ya Sheria (LLB) mwaka wa tatu amefariki dunia siku ya Ijumaa, tarehe 29 Novemba 2013 na kuzikwa siku ya Jumapili, tarehe 1 Desemba 2013 jijini Dar es Salaam.
Kifo cha marehemu kilisababishwa na matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa karibia mwaka mzima.
Marehemu ameacha mume pamoja na watoto wawili.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amina!
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe!