Wednesday, March 20, 2013

SELECTED SCHOOLS FOR TEACHING PRACTICE IN TANGA.

To all OUT Tanga students,Following are the schools that have been selected for conducting Teaching Pratcite that begins on 22nd April to 24th May 2013. Old Tanga, Usagara, Chumbageni and Costal secondary schools (at Tanga); Shambalai or Hubiri secondary schools (at Lushoto); Nyerere Memorial secondary school (at Korogwe).

FACE-TO-FACE FOR ACADEMIC YEAR 2012/2013.

To all OUT students of Tanga Regional Centre,You are reminded that face-to-face session for this academic year will be conducted from 6th to 11th April 2013. So, all of you have to get prepared for it.

USAJILI WA MITIHANI YA JUNE 2013.

Usajili wa mitihani (Annuals) pamoja na special Main Timed Tests (MTTs) umeshaanza tangu tarehe 6 March 2013 na utakamilika tarehe 20 April 2013. Hivyo, mnashauriwa kufanya registration mapema ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza katika siku za mwisho za usajili huo.

KUONGEZWA MUDA WA KULIPA ADA.

Wwanafunzi wote wa OUT mnajulishwa kuwa muda wa kulipa awamu ya pili ya ada ya mwaka wa masomo 2012/2013 umeongezwa. Mwisho wa kulipa ada hizo ni tarehe 20 April 2013

VYETI VYA WAHITIMU WA OUT 2011/2012.

Tunapenda kuwajulisha wahitimu wote wa mwaka wa masomo 2011/2012 kuwa vyeti vipo yatari. Hivyo, kila muhitimu anahitajika kwenda makao makuu ya OUT (Dar es Salaam) akiwa na Academic Transcript.