Monday, November 25, 2013

DEADLINE FOR COURSE REGISTRATION!

We would like to remind again all OUT students that the deadline for course registration is on 30th November 2013.
Only 4 days left, so make sure that you register your courses before that day.
Thanks.

Sunday, November 17, 2013

COURSE REGISTRATION

We would like to remind you, OUT students, to complete the exercise of retistering the courses that you intend to undertake for this academic year 2013/2014 before the 30th November 2013.
NOTE: You are required to register only new courses that you have never yet registered before.
Thanks.

Monday, November 4, 2013

SHUKRANI!

Uongozi, wahadhiri pamoja na wafanyakazi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania-kituo cha Tanga, tunapenda kuwashukuru wanafunzi wote walioshiriki katika shughuli za kufungua mwaka mpya wa masomo 2013/2014 pamoja na sherehe za kuwapongeza wahitimu wa mwaka huu. Ushirikiano wenu ndio ambao kwa kiasi kikubwa ulizifanya shughuli hizo kufana.
Aidha, tunawaomba radhi kwa mapungufu yoyote yaliyojitokeza. Karibuni sana.

RUHUSA YA KUSOMA MASOMO 2 YA KUFUNDISHIA KWA WANAFUNZI WA B.ED

Tunapenda kuwajulisha wanafunzi wanaosoma B.ED waliojiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2011/2012 na 2012/2013 kuwa nao wanaruhusiwa kusoma masomo mawili ya kufundishia (teaching subjects) kwa kufuata muongozo wa wanafunzi wapya wa B.Ed wa mwaka huu mpya wa masomo 2013/2014 kama inavyojionesha katika Prospectors ya mwaka huu 2013/2014.
Kwa atakayependa kusoma masomo hayo 2 ya kufundishia, atahitajika kusoma units 12 kwa somo kuu (major) na units 6 kwa somo la pili (minor).
ZINGATIA:
Suala hili ni la hiyari kwa wanafunzi wa 2011/2012 na 2012/2013, lakini ni la lazima kwa wanafunzi wapya wa B.Ed wa mwaka huu wa masomo 2013/2014.
Tunawatia ufanisi mwema katika masomo yenu.