Friday, February 14, 2014

KUMALIZIKA KWA MITIHANI YA JAN/FEB 2014!

Leo ndio siku ya mwisho ya kufanyika kwa mitihani ya Jan/Feb 2014. Tunamshukuru Mungu kwa kukamilisha zoezi hili kwa usalama. Tunawatakia wanachuo wote maandalizi mema ya shughuli zijazo za kitaaluma ikiwemo Field/Teaching Practice na Face to Face.
Ahsanteni.

Friday, February 7, 2014

HII NDIO BUNGUABONGO - OUT TANGA - JAN/FEB 2014!

Hii ni wiki ya pili ya mitihani katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kituo cha Tanga. Imebakia wiki moja tu kabla ya zoezi hili kukamilika. Shuhudia jinsi wanachuo walivyo makini kutengeneza GPA zao!

Friday, January 17, 2014

TOALL BSC.ENV STUDENTS

All of you, BSC Env students, are reminded to specialize either in BSC Env (management) or BSC Env (science) by writing a letter as informed to you earlier through your OUT E-mails.
Please, never delay, act upon immediately.

Friday, January 10, 2014

KUSAINISHA EXAMINATION HALL TICKETs!

Heri ya mwaka mpya 2014.
Tunapenda kuwakumbusha wanafunzi wote mliojisajili kufanya mitihani ya Janary/February 2014 kuleta Examination Hall Tickets (EHT) zenu ofisini ili zisainiwe, kwani hautaruhusiwa kufanya mtihani endapo EHT yako haijasainiwa na walimu.
Hivyo, ili kuepuka usumbufu, hakikisha kuwa unasainiwa EHT yako kabla ya kuanza kwa mitihani tarehe 27 January 2014.
Tunakutakia maandalizi mema ya mitihani.