Wednesday, March 20, 2013

VYETI VYA WAHITIMU WA OUT 2011/2012.

Tunapenda kuwajulisha wahitimu wote wa mwaka wa masomo 2011/2012 kuwa vyeti vipo yatari. Hivyo, kila muhitimu anahitajika kwenda makao makuu ya OUT (Dar es Salaam) akiwa na Academic Transcript.

No comments:

Post a Comment