Monday, August 26, 2013

TATIZO LA KIUFUNDI

Tunapenda kuwaomba radhi wasomaji wetu wa blog yetu hii kwa kutopata taarifa kwa muda mrefu kidogo. Hii imetokana na matatizo ya kiufundi yaliyokuwa juu ya uwezo wetu. Hata hivyo, matatizo hayo yameshatatuliwa. Hivyo tutaendelea kuwapatia taarifa mbalimbali zinazohusu OUT kituo cha Tanga na nyinginezo kwa ujumla. Ahsanteni!

No comments:

Post a Comment