Thursday, February 28, 2013

MABADILIKO YA TAREHE YA FACE-TO-FACE & TEACHING PRACTICE.

Tunapenda kuwajulisha mabadiliko ya tarehe za Face-To-Face pamoja na Teaching Practice kwa mwaka wa masomo 2012/2013.
Face-to-Face itaanza tarehe 6 mpaka 11 April 2013 kwa wanafunzi wote wa Tanga.
Teaching Practice nayo itaanza tarehe 22 April mpaka 24 May 2013.
Hivho, mnashauriwa kuzingatia mabadiliko haya yaliyosababishwa na kusogezwa mbele kwa tarehe za usahihishaji wa mitihani ya January/February 2013.
Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaotokana na mabadiliko haya.

No comments:

Post a Comment