Monday, April 15, 2013

MWISHO WA USAJILI WA MITIHANI YA JUNE 2013

Wanafunzi wote mnakumbushwa kuwa tarehe ya mwisho ya usajili wa masomo, ulipaji ada na usajili wa mitihani ya June 2013 imekaribia. Hivyo, kamilisha malipo yako ya ada na usajili wa kozi pamoja na mitihani mapema ili kuepuka msongamano katika siku ya mwisho. Mwisho  ni Jumamosi ya tarehe 20/04/2013.  OUT Tanga Centre inakutakia uwajibikaji mwema.

No comments:

Post a Comment