Monday, April 22, 2013

ZAYA MUDA WA KUJISAJILI KWA MITIHANI

Tunapenda kuwajulisha wanafunzi wote wa OUT kuwa tarehe ya mwisho ya kujisajili kwa mitihani ya June 2013 imesogezwa mbele mpaka tarehe 5 May 2013. Kutokana na kuwa tarehe hiyo itaangukia siku ya Jumapili, tunawashauri mkamilishe malipo husika kabla ya Ijumaa ya tarehe 3 May 2013 (ambayo ni siku ya kazi) ili  tuweze kuingiza taarifa za malipo yenu kwenye akaunti zenu za SARIS, na hivyo kuweza kuruhusiwa kujisajili. Tafadhali zingaia.

No comments:

Post a Comment