Friday, February 7, 2014

HII NDIO BUNGUABONGO - OUT TANGA - JAN/FEB 2014!

Hii ni wiki ya pili ya mitihani katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kituo cha Tanga. Imebakia wiki moja tu kabla ya zoezi hili kukamilika. Shuhudia jinsi wanachuo walivyo makini kutengeneza GPA zao!

No comments:

Post a Comment