Friday, February 14, 2014

KUMALIZIKA KWA MITIHANI YA JAN/FEB 2014!

Leo ndio siku ya mwisho ya kufanyika kwa mitihani ya Jan/Feb 2014. Tunamshukuru Mungu kwa kukamilisha zoezi hili kwa usalama. Tunawatakia wanachuo wote maandalizi mema ya shughuli zijazo za kitaaluma ikiwemo Field/Teaching Practice na Face to Face.
Ahsanteni.

No comments:

Post a Comment